Maelezo ya Chini
a Mwishoni mwa karne ya 16, Kanisa Katoliki lilikataza vikali matumizi ya Biblia za lugha za kienyeji ilipotoa Fahirisi ya Vitabu Vilivyokatazwa. Kulingana na kitabu kimoja (The New Encyclopædia Britannica), fahirisi hiyo “ilisimamisha kabisa kazi ya Wakatoliki ya kutafsiri kwa miaka 200 iliyofuata.”