Maelezo ya Chini
b Mwanahistoria Eusebio (260-340 W.K.) anasema kwamba muda fulani kabla ya mwaka wa 66 W.K., “mitume, ambao walikabili hatari ya kuuawa, walifukuzwa Yudea. Lakini ili kueneza ujumbe wao walisafiri katika kila nchi kwa nguvu za Kristo.”