Maelezo ya Chini
a Sasa gazeti la Mnara wa Mlinzi litachapishwa katika matoleo mawili. Toleo la tarehe moja litakuwa la watu wote. Toleo la tareheĀ 15 litakuwa toleo la funzo ambalo Mashahidi wa Yehova watatumia katika mikutano yao ya kutaniko, na watu wote wanakaribishwa kuhudhuria mikutano hiyo.