Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Maneno hayo ya Yesu yanasaidia kurekebisha wazo lisilo sahihi ambalo linategemea jinsi tafsiri fulani zinavyotafsiri kimakosa neno “kuwapo.” Tafsiri fulani zinatafsiri neno hilo kuwa “kuja,” “kufika,” au “kurudi,” na maneno hayo yanamaanisha tukio la muda mfupi tu. Hata hivyo, ona kwamba Yesu hakulinganisha kuwapo kwake na Gharika ya siku za Noa, tukio la wakati mmoja, lakini alililinganisha na “siku za Noa,” kipindi fulani cha mwisho. Kama kipindi hicho cha zamani, kuwapo kwa Kristo kungekuwa kipindi cha wakati ambapo watu wangejishughulisha sana na maisha ya kila siku na kukosa kutambua onyo linalotolewa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki