Maelezo ya Chini
c Inapendeza kwamba Eliya aliwaambia: “Msiwashe moto” ili kuteketeza dhabihu. Wasomi fulani wanasema kwamba nyakati nyingine waabudu hao wa sanamu walitumia madhabahu yaliyokuwa na mwanya uliofichika chini ya madhabahu ili ionekane kana kwamba moto uliwashwa kimuujiza.