Maelezo ya Chini
c Inaonekana kwamba kizazi hiki kinaishi wakati wa kutimizwa kwa maono ya kwanza ya kitabu cha Ufunuo. (Ufu. 1:10–3:22) Sehemu hiyo ya siku ya Bwana inaanza mwaka wa 1914 mpaka mshiriki wa mwisho mtiwa-mafuta aliye mwaminifu atakapokufa na kufufuliwa.—Ona Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!, ukurasa wa 24, fungu la 4.