Maelezo ya Chini
a Mtume Paulo alitumia neno ambalo ni gumu kutafsiri kwa kutumia neno moja tu la Kiswahili. Kitabu kimoja kinasema hivi: “Usawaziko unatia ndani kuwa tayari kudhabihu haki zetu, kuwajali wengine, na kuwatendea kwa upole.” Hivyo, neno hilo linamaanisha kukubali maoni ya wengine, kutosisitiza sheria ifuatwe bila kunyumbulika au kudai haki zako.