Maelezo ya Chini
c Biblia inafundisha kwamba tunapokufa tunarudi katika mavumbi, nafsi inakufa, na hatuwi tena na mawazo au hisia. (Mwanzo 3:19; Mhubiri 9:5, 6; Ezekieli 18:4) Biblia haifundishi popote kwamba nafsi za waovu zinateseka milele katika moto wa mateso.