Maelezo ya Chini
b Ingawa andiko la Mathayo 13:39-43 linazungumzia jambo tofauti kuhusu kazi ya kuhubiri juu ya Ufalme, linatimizwa wakati mmoja na mfano wa wavu wa kukokota, yaani, wakati wa “umalizio wa mfumo wa mambo.” Kutenganishwa kwa samaki wa mfano ni kazi inayoendelea, kama vile kazi ya kupanda na kuvuna inavyoendelea katika kipindi hicho chote cha wakati.—Mnara wa Mlinzi, Oktoba 15, 2000, ukurasa wa 25-26; Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli, ukurasa wa 178-181, fungu la 8-11.