Maelezo ya Chini c Je, hilo linamaanisha kwamba malaika wamemtupilia mbali kila mtu ambaye ameacha kujifunza au kushirikiana na watu wa Yehova kana kwamba hafai? Hapana! Njia imefunguliwa kwa mtu yeyote anayetamani kwa moyo wote kumrudia Yehova.—Mal. 3:7.