Maelezo ya Chini
b Mfano mwingine unaoonyesha jinsi Mungu anavyotoa mwongozo unapatikana katika Matendo 16:6-10. Andiko hilo linasema kwamba Paulo na wenzake “walikatazwa na roho takatifu” wasihubiri katika Asia na Bithinia. Badala yake, walitumwa Makedonia, ambako watu wengi wapole waliikubali injili.