Maelezo ya Chini
a Wayahudi wengi walioishi Yerusalemu walizungumza Kigiriki. Kwa mfano, kulikuwa na wanaume “katika lile lililoitwa Sinagogi la Watu Waliowekwa Huru, na kati ya Wakirene na Waaleksandria na kati ya wale wa kutoka Kilikia na Asia,” ambao huenda walizungumza Kigiriki.—Matendo 6:1, 9.