Maelezo ya Chini
a Uhakika wa kwamba zaburi hizo mbili zinakamilishana unaonekana katika mpangilio wake na pia katika mambo yaliyomo. Sifa za Mungu ambazo zinatukuzwa katika Zaburi ya 111 zinaigwa na “mtu” anayezungumziwa katika Zaburi ya 112 ambaye anamwogopa Mungu, kama tunavyoweza kuona tunapolinganisha Zaburi 111:3, 4 na Zaburi 112:3, 4.