Maelezo ya Chini
b Inakadiriwa kwamba Samaria, mji mkuu wa Israeli, ulikuwa na wakaaji 20,000 hadi 30,000 hivi katika siku za Yona. Idadi hiyo ilikuwa robo hivi ya wakaaji wa Ninawi. Wakati lilipokuwa limesitawi, huenda Ninawi lilikuwa jiji kubwa zaidi ulimwenguni.