Maelezo ya Chini
a Maneno “mvulana asiye na baba” yanapatikana mara 40 hivi katika Biblia. Ingawa neno la Kiebrania linalotafsiriwa “mvulana asiye na baba” linataja mtoto wa kiume, hatupaswi kukata kauli kwamba kanuni zinazozungumziwa hazihusu wasichana wasio na baba. Sheria ya Musa ilitetea haki ya wasichana wasio na baba sawa na wavulana.—Hesabu 27:1-8.