Maelezo ya Chini
b Daudi alikuwa pia kama mwana-kondoo anayemtumaini mchungaji wake. Alimtegemea yule Mchungaji Mkuu Zaidi, Yehova, ili amlinde na kumwongoza. Alisema hivi akiwa na uhakika kabisa: “Yehova ni Mchungaji wangu. Sitakosa chochote.” (Zab. 23:1) Yohana Mbatizaji alimtambulisha Yesu kuwa “Mwana-Kondoo wa Mungu.”—Yoh. 1:29.