Maelezo ya Chini
a Nyakati nyingine andiko hilo linatafsiriwa kwa njia inayoonyesha kwamba ni kifo tu cha mama ndicho kinachoweza kuleta adhabu ya kifo. Hata hivyo, maandishi ya awali ya Kiebrania yanaonyesha kwamba sheria hiyo ilihusu kumuumiza mama au mtoto wake ambaye hajazaliwa na hivyo kusababisha kifo cha mama au mtoto huyo.