Maelezo ya Chini
a Neno la Kiebrania “Betheli” linamaanisha “Nyumba ya Mungu.” Jiji la Betheli linalozungumziwa katika Biblia lilikuwa jiji maarufu la Waisraeli. Katika Biblia jiji la Yerusalemu tu ndilo linalotajwa mara nyingi zaidi kuliko jiji la Betheli.