Maelezo ya Chini
b “Je, Ananifaa?” katika kitabu Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi, Buku la 2; “Mwongozo wa Mungu Katika Kuchagua Mwenzi wa Ndoa,” katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la Mei 15, 2001 (15/5/2001); na “Je, Ni Hekima kwa Matineja Kufunga Ndoa?” katika gazeti la Amkeni! la Septemba 22, 1983 (22/9/1983), la Kiingereza au gazeti la Kifaransa la Desemba 22, 1983 (22/12/1983).