Maelezo ya Chini
a Uwezo wa kupatanisha wa mnyama aliyetolewa dhabihu ulikuwa katika damu yake, ambayo Mungu aliiona kuwa takatifu. (Mambo ya Walawi 17:11) Je, hilo lilimaanisha kwamba matoleo ya maskini ya unga hayakuwa na thamani? La. Yehova alithamini matoleo kama hayo yaliyotolewa kwa unyenyekevu na hiari. Isitoshe, dhambi za taifa lote—kutia ndani za maskini—zilifunikwa na damu ya wanyama waliotolewa kwa Mungu katika Siku ya Upatanisho ya kila mwaka.—Mambo ya Walawi 16:29, 30.