Maelezo ya Chini
a Huenda Asa aliondoa mahali pa juu ambapo palitumiwa kwa ajili ya ibada ya miungu ya uwongo lakini si mahali ambapo watu walimwabudu Yehova. Au huenda ikawa kwamba mahali pa juu palijengwa tena katika kipindi cha mwisho cha utawala wa Asa na kwamba paliondolewa na mwana wake Yehoshafati.—1 Fal. 15:14; 2 Nya. 15:17.