Maelezo ya Chini
c Maneno ambayo kijana huyo alitumia yanamaanisha kihalisi “mwana wa beliali (asiye na thamani yoyote).” Biblia nyingine zinapotafsiri maneno hayo zinaonyesha pia kwamba Nabali alikuwa mwanamume “asiyemsikiliza yeyote,” na zinatafsiri hivi sehemu ya kumalizia, “hakuna faida ya kuzungumza naye.”