Maelezo ya Chini
a Maandishi yaliyoandikwa kwa mwongozo wa roho takatifu ambayo Yoshua alikuwa nayo huenda yalitia ndani vile vitabu vitano vya Musa (Mwanzo, Kutoka, Mambo ya Walawi, Hesabu, Kumbukumbu la Torati), kitabu cha Ayubu, na zaburi moja au mbili.