Maelezo ya Chini
a Sehemu za kwanza kabisa za Biblia zilizochapishwa katika Kimalagasi ni Amri Kumi, na Sala ya Bwana, sehemu hizo zilichapishiwa huko Mauritius kati ya Aprili (Mwezi wa 4) na Mei 1826. Hata hivyo, familia ya Mfalme Radama na maofisa fulani wa serikali ndio tu waliopewa nakala hizo.