Maelezo ya Chini
a Hapa kuna ahadi chache ambazo Yoshua aliona zikitimizwa. Yehova angewapa Waisraeli nchi yao wenyewe. (Linganisha Mwanzo 12:7 na Yoshua 11:23.) Yehova angewakomboa Waisraeli kutoka Misri. (Linganisha Kutoka 3:8 na Kutoka 12:29-32.) Yehova angewategemeza watu wake.—Linganisha Kutoka 16:4, 13-15 na Kumbukumbu la Torati 8:3, 4.