Maelezo ya Chini
b Tunaweza kusema kwamba watu kwenye sinagogi hawakuwa na msimamo tunapolinganisha jinsi walivyotenda kuhusiana na maneno ya Yesu wakati huo, na maneno yao siku iliyotangulia, walipotangaza kwa shauku kwamba Yesu ni nabii wa Mungu.—Yohana 6:14.