Maelezo ya Chini
a “Kondoo wengine” wa Yesu wataweza tu kuwa wana wa Mungu mwishoni mwa miaka elfu moja. Hata hivyo, kwa kuwa wamejiweka wakfu kwa Mungu, kwa kufaa wanaweza kumwita Mungu “Baba,” na wanaweza kuonwa kuwa washiriki wa familia ya waabudu wa Yehova.—Yoh. 10:16; Isa. 64:8; Mt. 6:9; Ufu. 20:5.