Maelezo ya Chini
a Neno “Kignosti” linatokana na neno la Kigiriki ambalo linaweza kumaanisha “ujuzi wa kisiri” na neno “Apokrifa” linaloweza kumaanisha “habari iliyofichwa kwa uangalifu.” Maneno hayo yanatumiwa kuhusu maandishi ya uwongo au yasiyokubaliwa ambayo yanajaribu kuiga vitabu vya Injili, Matendo, barua, na mafunuo katika vitabu vinavyokubaliwa vya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo.