Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

b Katika mfano huo, kazi ya kupanda mbegu haifananishi kazi ya kuhubiri na kufanya wanafunzi, ambayo ingewakusanya watu wapya ambao wangekuwa Wakristo watiwa-mafuta. Yesu alisema hivi kuhusu mbegu nzuri ambayo inapandwa katika shamba: “Hiyo ni [si kwamba “itakuwa”] wana wa ufalme.” Kupanda kunafananisha kuwatia mafuta wana hao wa Ufalme katika shamba la ulimwengu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki