Maelezo ya Chini
b Katika mfano huo, kazi ya kupanda mbegu haifananishi kazi ya kuhubiri na kufanya wanafunzi, ambayo ingewakusanya watu wapya ambao wangekuwa Wakristo watiwa-mafuta. Yesu alisema hivi kuhusu mbegu nzuri ambayo inapandwa katika shamba: “Hiyo ni [si kwamba “itakuwa”] wana wa ufalme.” Kupanda kunafananisha kuwatia mafuta wana hao wa Ufalme katika shamba la ulimwengu.