Maelezo ya Chini
a Vivyo hivyo, watiwa-mafuta ndio hasa wanaoitwa “kutaniko.” (Ebr. 12:23) Hata hivyo, neno “kutaniko” linaweza pia kumaanisha Wakristo wote, iwe wana tumaini la kwenda mbinguni au la kuishi duniani.—Ona gazeti Mnara wa Mlinzi, Aprili 15, 2007 (15/4/2007), ukurasa wa 21-23.