Maelezo ya Chini
b Mathayo anasema kwamba wageni hao “wakafungua hazina zao” na kumtolea dhahabu, ubani, na manemane. Hata hivyo, huenda familia ya Yesu—ambayo haikuwa tajiri—ilipata zawadi hizo zenye thamani kubwa wakati unaofaa kwa sababu ililazimika kukimbia nchi yao muda mfupi baadaye.—Mathayo 2:11-15.