Maelezo ya Chini
a Wasomi fulani wana mashaka kwamba maandishi hayo ya michoro yanamaanisha kwamba Washasu “walikuwa wafuasi wa mungu Yahweh.” Wanaamini kwamba huenda jina lisilojulikana la eneo hilo linafanana tu na jina la Mungu wa Israeli kwa njia fulani isiyo wazi.