Maelezo ya Chini
b Ingawa Biblia inasema kwamba Yehova alikuwa ‘amefunga tumbo la uzazi la Hana,’ hilo halithibitishi kuwa Yehova hakupendezwa na mwanamke huyo mwaminifu na mnyenyekevu. (1 Samweli 1:5) Nyakati nyingine Biblia husema kuwa Mungu amefanya mambo fulani kwa kuwa tu ameyaruhusu yatendeke kwa muda fulani.