Maelezo ya Chini
b Katika andiko hilo Petro anazungumzia dunia ya mfano. Musa, mwandikaji mwingine wa Biblia, alizungumzia pia dunia ya mfano. Aliandika hivi: “Dunia yote iliendelea kuwa na lugha moja.” (Mwanzo 11:1) Dunia halisi haiwezi kuzungumza “lugha moja,” hali kadhalika, si dunia halisi itakayoharibiwa. Lakini kama Petro anavyosema, ni watu wasiomwogopa Mungu watakaoangamizwa.