Maelezo ya Chini
a Katika andiko hilo mtume Paulo anarudia maneno ya Zaburi 40:6-8 kulingana na tafsiri ya Kigiriki ya Septuajinti, ambayo inataja maneno “ulinitayarishia mwili.” Maneno hayo hayapatikani katika hati zilizopo za Maandiko ya kale ya Kiebrania.