Maelezo ya Chini
a Watu fulani wana maoni kwamba maneno ya Yesu katika Yohana 20:22, 23, yanaunga mkono kuungama dhambi zetu kwa wanadamu. Kwa habari zaidi kuhusu jambo hilo, ona gazeti la Mnara wa Mlinzi la Aprili 15, 1996 (15/4/1996), ukurasa wa 28-29.