Maelezo ya Chini
a Mapokeo fulani ya kidini yanasema kwamba ni kosa kutaja jina la kibinafsi la Mungu, hata katika sala. Hata hivyo, jina hilo linapatikana karibu mara 7,000 katika lugha za awali za Biblia, hasa katika sala na zaburi za watumishi waaminifu wa Yehova.