Maelezo ya Chini
b Wasomi fulani wanasema kwamba usemi wa mfano wa Kiebrania uliotafsiriwa “niache” katika Kutoka 32:10 unaweza kuonwa kuwa mwaliko, pendekezo la kwamba Musa aruhusiwe kuingilia kati, au ‘kusimama katika mwanya,’ uliokuwapo kati ya Yehova na taifa hilo. (Zab. 106:23; Eze. 22:30) Iwe ilikuwa hivyo au hapana, bila shaka Musa alijihisi huru kumweleza Yehova maoni yake bila woga.