Maelezo ya Chini
a Kulingana na msomi mmoja, neno la lugha ya awali ambalo lilitafsiriwa kuwa “kujiwekea” linaweza pia kumaanisha ‘kusimamisha mnara wa ukumbusho.’ Hivyo, Wayahudi hao kwa kweli walikuwa wakisimamisha mnara wa mfano wa ukumbusho ili wajiletee sifa badala ya kumletea Mungu sifa.