Maelezo ya Chini
a Ilitabiriwa kwamba mambo fulani yaliyofanywa kwenye mikutano ya Kikristo katika karne ya kwanza yangekoma. Kwa mfano, ‘hatusemi tena kwa lugha’ au ‘kutoa unabii.’ (1 Kor. 13:8; 14:5) Hata hivyo, maagizo ya Paulo yanatusaidia kuelewa jinsi mikutano ya Kikristo inavyopaswa kuongozwa leo.