Maelezo ya Chini
a Ingawa maneno “mzazi asiye na mwenzi wa ndoa” hayapatikani katika Biblia, maneno “mjane” na “mvulana asiye na baba” yametumika sana. Hilo linamaanisha kwamba hata nyakati za Biblia, kulikuwa na wazazi wasio na wenzi wa ndoa.—Isaya 1:17.