Maelezo ya Chini a Inapendeza kwamba karne kumi baada ya kifo cha Daudi, kundi kubwa la malaika liliwatangazia wachungaji kuzaliwa kwa Masihi. Wachungaji hao walikuwa wakichunga makundi yao katika maeneo yaliyo karibu na Bethlehemu.—Luka 2:4, 8, 13, 14.