Maelezo ya Chini
b Wazo hilo si la Kimaandiko. Biblia inafundisha kuwa kazi zote za Mungu ni kamilifu; upotovu una chanzo tofauti. (Kumbukumbu la Torati 32:4, 5) Yehova alipomaliza kuiumba dunia, alitangaza kuwa kila kitu alichoumba “kilikuwa chema sana.”—Mwanzo 1:31.