Maelezo ya Chini
c Gharika, ambayo ilisababishwa na Mungu, iliiharibu kabisa bustani ya Edeni. Andiko la Ezekieli 31:18 linadokeza kwamba kufikia karne ya saba K.W.K. “miti ya Edeni” haikuwako. Kwa hiyo, wote waliotafuta bustani ya Edeni baada ya wakati huo hawangeipata.