Maelezo ya Chini
a Mara nyingi Yesu alijiita “Mwana wa binadamu.” (Mathayo 8:20) Maneno hayo yanaonyesha kwamba Yesu alikuwa binadamu kamili na pia “mwana wa binadamu” anayerejelewa katika unabii wa Biblia.—Danieli 7:13, 14.
a Mara nyingi Yesu alijiita “Mwana wa binadamu.” (Mathayo 8:20) Maneno hayo yanaonyesha kwamba Yesu alikuwa binadamu kamili na pia “mwana wa binadamu” anayerejelewa katika unabii wa Biblia.—Danieli 7:13, 14.