Maelezo ya Chini
a Makanisa ya dini zinazodai kuwa za Kikristo yanalaumiwa kwa kutumia masimulizi ya vitabu vya Injili yanayoeleza kuhusu kuuawa kwa Yesu ili kuwachochea watu wawapinge Wayahudi, lakini waandikaji wa Injili hawakuwa na mtazamo huo ingawa wao wenyewe walikuwa Wayahudi.