Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Bila shaka, hakuna mzeituni ambao unafananisha kikundi fulani halisi cha watu au kikundi cha mfano. Ingawa Waisraeli wa asili walitokeza wafalme na makuhani, taifa hilo halikuwa ufalme wa makuhani. Wafalme katika Israeli walikatazwa na sheria wasiwe makuhani. Kwa hiyo, Waisraeli wa asili hawakutumika wakiwa mzeituni halisi. Paulo anaonyesha jinsi kusudi la Mungu la kutokeza “ufalme wa makuhani” linavyotimizwa kuhusiana na Israeli wa kiroho. Habari hii inarekebisha maelezo yaliyochapishwa katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la Januari 15, 1984, ukurasa wa 7-12.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki