Maelezo ya Chini
b “Sauti tulivu, ya chini” inaweza kuwa ya yule malaika aliyetumiwa kupeleka “neno la Yehova” anayetajwa katika 1 Wafalme 19:9. Mstari wa 15 unamtaja “Yehova” ambaye anawakilishwa na, malaika huyo. Huenda tukakumbuka mjumbe kutoka kwa Yehova ambaye alitumiwa kuwaongoza Waisraeli nyikani na ambaye Mungu alisema hivi kumhusu: “Jina langu limo ndani yake.” (Kutoka 23:21) Bila shaka, hatuwezi kusema kwa hakika kabisa kuhusu hilo, hata hivyo, tunapaswa kukumbuka kwamba kabla ya kuwa binadamu, Yesu alitumika akiwa “Neno,” Msemaji maalumu wa Yehova kwa watumishi wake.—Yohana 1:1.