Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

b “Sauti tulivu, ya chini” inaweza kuwa ya yule malaika aliyetumiwa kupeleka “neno la Yehova” anayetajwa katika 1 Wafalme 19:9. Mstari wa 15 unamtaja “Yehova” ambaye anawakilishwa na, malaika huyo. Huenda tukakumbuka mjumbe kutoka kwa Yehova ambaye alitumiwa kuwaongoza Waisraeli nyikani na ambaye Mungu alisema hivi kumhusu: “Jina langu limo ndani yake.” (Kutoka 23:21) Bila shaka, hatuwezi kusema kwa hakika kabisa kuhusu hilo, hata hivyo, tunapaswa kukumbuka kwamba kabla ya kuwa binadamu, Yesu alitumika akiwa “Neno,” Msemaji maalumu wa Yehova kwa watumishi wake.—Yohana 1:1.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki