Maelezo ya Chini
a Ni jambo la ajabu kwamba Biblia inasema dunia ni mviringo, au duara, kama vile neno la Kiebrania linavyoweza kutafsiriwa pia. Aristoto na Wagiriki wengine wa kale walifikiri vivyo hivyo, lakini maoni hayo yalitokeza mjadala ulioendelea kwa zaidi ya miaka 2,000 baadaye.