Maelezo ya Chini
a Makuhani na Walawi walifanya kazi za hekalu siku ya Sabato, hata hivyo ‘walibaki bila hatia.’ Akiwa kuhani mkuu wa hekalu kuu la kiroho la Mungu, Yesu angeweza pia kutimiza mgawo wake wa kiroho bila kuogopa kuvunja Sabato.—Mt. 12:5, 6.